Pages

Total Pageviews

HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI

Wednesday, September 6, 2017

INIESTA ATAKA KUONDOKA BARCA

ANDRES INIESTA NA MKATABA MPYA



Mchezaji nguli wa barcelona ANDRES INIESTA  amefikilia kutoongeza mkataba tena na magwiji wa Hispania Barcelona Hata hivyo,ANDRES INIESTA alionekana katika uwanja wa ndege wa El Prat kutoka Hispania siku ya Jumatano,Baada ya kuulizwa maswali na mwandishi Iniesta aliwaambia waandishi wa habari "hapana" wakati alipoulizwa kama angeweza kuthibitisha kuwa kama kuna makubaliano yoyote .Bartomeu amesema: "Sisi tuna makubaliano ya msingi kwa Iniesta kuanzisha upya [mkataba wake] na tunatarajia kumaliza wiki hizi zijazo. Tunasubiri kuendelea na Mazungumzo, lakini Iniesta ni mchezaji tunataka amalizie soka lake Hapa na anahisi ni wakati mzuri wa kustaafu.
 
Bartomeu amesema: "Sisi tuna makubaliano ya msingi kwa Iniesta kuanzisha upya [mkataba wake] na tunatarajia kumaliza wiki hizi zijazo. Tunasubiri kuendelea na Mazungumzo, lakini Iniesta ni mchezaji tunataka amalizie soka lake Hapa na  anahisi ni wakati mzuri wa kustaafu.

0 comments:

Post a Comment